Xiaochen Jijini Zhengzhou, Mkoani Henan

Kiburi ni dosari yangu ya mauti. Nilikuwa mara kwa mara nikifichua tabia yangu ya kiburi, kila mara nikifikiri kuwa nilikuwa bora kuliko watu wengine. Hasa niliporekebisha ibara au kuwasiliana kuhusu kazi na mbia, kila mara nilikuwa mshupavu na sikusikiliza maoni mengine kwa ustaha. Kutoweza kwangu kushirikiana kwa upatano na wabia wangu mara nyingi kulisababisha matatizo kwa kazi. Ndugu walileta suala hili mara nyingi kwangu, na pia nilisoma mara kwa mara kuhusu Mungu akifichua asili ya watu yenye kiburi. Lakini kwa sababu sikuwa nimepata ufahamu wa kweli wa asili yangu na hali na pia singeweza kuuchukia kweli, wakati wowote nili ... Read more »

Views: 100 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 07.29.2019 | Comments (0)