1:55 AM
Latest Swahili Praise and Worship Song | "Tuna Bahati Kukutana na Kuja kwa Mungu" | Tenzi ya Rohoni

Latest Swahili Praise and Worship Song | "Tuna Bahati Kukutana na Kuja kwa Mungu" | Tenzi ya Rohoni

Tuna bahati kukutana na kuja kwa mungu, twaisikia sauti Yake.

Tuna bahati kukutana na kuja kwa mungu, tunahudhuria sikukuu ya Mwanakondoo.

Tunamjua Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaona matendo Yake ya ajabu.

Tunaelewa siri ya maisha ya mwanadamu, maneno ya Mwenyezi Mungu ni ya thamani zaidi.

Tunakula na kunywa maneno ya Mungu, na tunaishi mbele Yake,

tusitafute tena huku na kule.

Tunapopitia hukumu ya Mungu, ingawa tunaweza kuteseka, tunatakaswa.

Tunapata ukweli na njia ya uzima wa milele.

Tukitafuta kumpenda Mungu, hatutawahi kujuta.

Maisha haya yamebarikiwa sana, tunakuwa watu wanaompenda Mungu.

Maisha haya yamebarikiwa sana, tunasifiwa na Mungu.

Kutimiza wajibu wetu, kushuhudia kwa Mungu,

na kufuatilia ukweli kuna maana zaidi.

Nani anaweza kuwa na bahati zaidi?

Nani anaweza kubarikiwa zaidi?

Mungu anatupa ukweli na uzima, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.

Nani anaweza kuwa na bahati zaidi?

Nani anaweza kubarikiwa zaidi?

Mungu anatupa ukweli na uzima, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.

Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.

Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.

Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana. 

Views: 98 | Added by: flickrpinquorettfb | Tags: Video za Nyimbo za Dini, nyimbo | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar