- I
- Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu,
- Mungu anageuka kuutazama ulimwengu
- na unaanza kutingika.
- Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake?
- Ama kuishi katika janga Analotoa?
- Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga,
- lakini kupitia kwayo Anatoa wokovu
- na kuonyesha upendo Wake.
- Mungu anatamani kuwafanya watu zaidi kumjua,
- kumwona na kumheshimu.
- Hawajamwona kwa muda mrefu,
- lakini sasa Yeye ni wa kweli kabisa.
- II
- Anapokuja chini katika taifa la jo
...
Read more »
|
|