Petro ni mfano ambao Mungu aliutambulisha kwa wanadamu,na yeye ni mtu mashuhuri anayejulikana vizuri。Kwa nini mtu mnyonge kama huyo aliwekwa mahala kama mfano na Mungu na amesifiwa na vizazi vya baadaye?Bila shaka,ni wazi kwamba hili halitenganishwi na maonyesho yake na azimio lake la upendo kwa Mungu。Kuhusu wapi ambapo moyo wa Petro wa upendo kwa Mungu ulionyeshwa na kile ambacho uzoefu wake wa maishani ulivyokuwa kwa kweli,lazima turudi kwa Enzi ya Neema kutazama tena desturi za wakati huo,ili kumwona ... Read more »

Views: 137 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 05.06.2019 | Comments (0)