11:11 AM
Ni Wakati tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake
 
 
  • I
  • Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza kwa kiwango fulani, 
  • kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu, 
  • ndipo wataweza kuwa wasiri Wake, 
  • ndipo watakuwa marafiki Zake wa karibu. 
  • Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu 
  • Wakati Mungu ni wa Roho, 
  • ‘metukuka na mgumu kumwelewa? 
  • Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu 
  • mwanadamu ataweza mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
  • II
  • Mungu hunena na kufanya kazi katika mwili, 
  • Akishiriki furaha, huzuni na dhiki ya mwanadamu, 
  • Akiishi katika dunia yao, Akiwalinda na kuwaongoza, 
  • hivyo Akiwatakasa wapate baraka Yake na wokovu. 
  • Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu 
  • Wakati Mungu ni wa Roho, 
  • ‘metukuka na mgumu kumwelewa? 
  • Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu 
  • mwanadamu ataelewa mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
  • III
  • Kupitia haya, 
  • mwanadamu anaweza kuelewa mapenzi ya Mungu 
  • na kuwa mwandani Wake; hili tu ndo la utendaji. 
  • Kama Mungu angekuwa asiyeonekana 
  • na asiyeguswa na mwanadamu, 
  • mwanadamu angekuwaje mwandani Wake? 
  • Je, fundisho hili ni bure? 
  • Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu 
  • Wakati Mungu ni wa Roho, 
  • ‘metukuka na mgumu kumwelewa? 
  • Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu 
  • mwanadamu ataelewa mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye. 
  • Ni Wakati tu Mungu anapokuwa mwili, 
  • ndipo mwanadamu ‘takuwa msiri Wake.
  •  
  • kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili
  • Chanzo: Kanisa la Mwenyezi Mungu
  •  
  •  

  •  

Views: 80 | Added by: flickrpinquorettfb | Tags: Nyimbo za Maneno ya Mungu | Rating: 0.0/0
Total comments: 0
avatar