- I
- Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza kwa kiwango fulani,
- kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
- ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
- ndipo watakuwa marafiki Zake wa karibu.
- Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
- Wakati Mungu ni wa Roho,
- ‘metukuka na mgumu kumwelewa?
- Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu
- mwanadamu ataweza mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
- II
- Mungu hunena na kufanya kazi katika mwili,
- Akishiriki furaha, huzuni na dhiki ya mwanadamu,
- Akiishi katika dunia yao, Akiwalinda na kuwaongoza,
- hivyo Akiwatakasa wapate baraka Yake na wokovu.
- Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
- Wakati Mungu ni wa Roho,
- ‘metukuka na mgumu kumwelewa?
- Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu
- mwanadamu ataelewa mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
- III
- Kupitia haya,
- mwanadamu anaweza kuelewa mapenzi ya Mungu
- na kuwa mwandani Wake; hili tu ndo la utendaji.
- Kama Mungu angekuwa asiyeonekana
- na asiyeguswa na mwanadamu,
- mwanadamu angekuwaje mwandani Wake?
- Je, fundisho hili ni bure?
- Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
- Wakati Mungu ni wa Roho,
- ‘metukuka na mgumu kumwelewa?
- Ni kwa kuwa tu mwili ulioumbwa sawa na mwanadamu
- mwanadamu ataelewa mapenzi Yake, na kupatwa na Yeye.
- Ni Wakati tu Mungu anapokuwa mwili,
- ndipo mwanadamu ‘takuwa msiri Wake.
-
- kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili
- Chanzo: Kanisa la Mwenyezi Mungu
-
|