Kazi na kuingia kwenu ni duni kabisa; mwanadamu hafikirii kwamba kazi ni muhimu na hata yeye ni mzembe zaidi na kuingia. Mwanadamu haoni haya kuwa mafunzo mazuri anayopaswa kuingia ndani; kwa hivyo, katika uzoefu wake wa kiroho, kwa kweli yote ambayo mwanadamu huona ni njozi. Si mengi yanatakiwa kutoka kwenu kuhusu uzoefu wenu katika kazi, lakini, kama yule anayetakiwa kukamilishwa na Mungu, mnapaswa kujifunza kumfanyia Mungu kazi ili hivi punde muweze kuupendeza moyo wa Mungu. Kotekote katika enzi, wale waliofanya kazi wameitwa wafanyakazi au mitume, ambayo inahusu idadi ndogo ya watu waliotumiwa na Mungu. Hata hivyo, kazi Niizungumziayo leo haihusu wafanyakazi au mitume hao pekee; inaelekezwa kwa wote watakaokamilishwa na Mungu. Labda kuna wengi walio na hamu kidogo katika hili, lakini, kwa ajili ya kuingia, ingekuwa bora zaidi kujadili ... Read more »

Views: 78 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 01.06.2020 | Comments (0)