Changkai Mji wa Benxi, mkoa wa Liaoning

Maneno ya kawaida “Wote huwekelea mizigo kwa farasi anayekubali” ni ambayo mimi binafsi ninayafahamu sana. Mimi na mume wangu sote tulikuwa hasa watu wasio na hatia: Wakati wa masuala yaliyohusisha faida au hasara yetu binafsi, hatukuwa aina ya watu wa kubishana na kusumbuana na wengine. Pale ambapo tuliweza kuwa wavumilivu tulikuwa wavumilivu, pale ambapo tungeweza kuwa na fadhila tulifanya tulivyoweza kuwa na fadhila. Kama matokeo yake, mara nyingi tulijipata tukiwa tumedanganywa na kudhulumiwa na wengine. Kwa hakika ilionekana kuwa katika maisha, “Wote huwekelea mizigo kwa farasi anayekubali”—iwapo una huruma nyingi sana katika moyo wako, iwapo una fadhila nyingi san ... Read more »

Views: 116 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 06.17.2019 | Comments (0)