42. Si Rahisi Kuwa Mtu Mwaminifu

Imeandikwa na Zixin, Mkoa wa Hubei

Baada ya kuikubali kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho, kwa kusoma maneno ya Mungu na kusikiliza mahubiri, nilikuja kuelewa umuhimu wa kufuatilia kuwa mtu mwaminifu katika imani ya mtu, na kwamba ni kwa kuwa mtu mwaminifu tu ndipo mtu anaweza kupata wokovu wa Mungu. Hivyo nikaanza kushiriki kuwa mtu mwaminifu katika maisha halisi. Baada ya kipindi cha muda, nilitambua kuwa nilipata kuingia kiasi katika maisha. Kwa mfano: Wakati nikiomba au kuzungumza na mtu, ningeweza kusema ... Read more »

Views: 109 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 06.09.2019 | Comments (0)