Aya za Biblia za Kurejelea:

“Na Neno alifanywa kuwa mwili, na akakaa kati yetu, (nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule wa Mwana wa pekee aliyezaliwa na Baba,) aliyejawa neema na ukweli” (Yohana 1:14).

Mimi ndiye njia, ukweli na uhai: hakuna mwanadamu ayaje kwa Baba, bali kwa njia yangu. Kama ninyi mngelinijua, pia mngelimjua Baba yangu: na kuanzia sasa mnamjua, na mmemwona” (Yohana 14:6-7).

Mimi niko ndani ya Baba, na Baba yuko ndani ya mimi” (Yohana 14:10).

Mimi na yeye Baba yangu tu mmoja” (Yohana 10:30).

Maneno Husika ya Mungu:

Wakati M ... Read more »

Views: 67 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 01.16.2020 | Comments (0)