Maneno Husika ya Mungu:

Kama una udanganyifu mwingi, basi utakuwa na moyo wenye hadhari na mawazo ya shaka juu ya mambo yote na wanadamu wote. Kwa sababu hii, imani yako Kwangu inajengwa kwa msingi wa shaka. Imani kama hii ni moja ambayo kamwe Sitaitambua. Bila imani ya kweli, basi utakuwa mbali hata zaidi na upendo wa kweli. Na ikiwa unaweza kumshuku Mungu na kumkisia utakavyo, basi wewe bila shaka ni mdanganyifu zaidi kati ya wanadamu wengine.

kutoka katika “Jinsi ya Kumjua Mungu Duniani” katika Neno Laonekana katika

Mwili

Wale ambao hawaishi maisha yao kwa uaminifu, wakijifanya kuwa watu wasio wakati wako mbele ya wengine, wakit ... Read more »

Views: 97 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 01.26.2020 | Comments (0)