Aya za Biblia za Kurejelea:

“Yesu akawaambia, … Ninyi ni wa baba yenu ibilisi, na mtatimiliza tamaa za baba yenu. Alikuwa mwuaji tangu mwanzo, na hakudumu katika ukweli, kwa sababu ukweli haupo ndani yake. Anaponena uwongo, anazungumza yaliyo yake mwenyewe: kwani yeye ni mwongo, na baba wa uwongo. Na kwa kuwa nawaambieni ukweli, hamniamini. … Yule ambaye ni wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu: nyinyi kwa hivyo hamyasikii, kwa kuwa nyinyi si wa Mungu” (Yohana 8:42-45, 47).

“Kupitia hili ninyi mnajua Roho wa Mungu; Kila roho inayokubali kuwa Yesu Kristo amefika katik ... Read more »

Views: 70 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 01.19.2020 | Comments (0)