38. Maana Halisi ya Uasi Dhidi ya Mungu

Zhang Jun Mji wa Shenyang, Mkoa wa Liaoning

Katika siku za nyuma, niliamini kuwa “uasi dhidi ya Mungu” ilimaanisha kumsaliti Mungu, kuacha kanisa, au kuutelekeza wajibu wa mtu. Nilidhani tabia hizi hufanyiza uasi. Kwa hiyo, wakati wowote niliposikia kuhusu watu wakihusika katika tabia hizo, ningejikumbusha kwamba sipaswi kuasi dhidi ya Mungu kama walivyofanya. Aidha, nilikuwa mwangalifu katika jitihada zangu zote na nilishikilia kazi zote nilizopewa na kanisa. Sikurudi nyuma kutoka kwa wajibu wangu wakati n ... Read more »

Views: 136 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 06.06.2019 | Comments (0)