34. Zawadi ya Kupendeza Zaidi Ambayo Mungu Amenipa

Yixin Jiji la Shijiazhuang, Mkoa wa Hebei

Kabla, ningewasikia mara kwa mara ndugu zangu wa kiume na wa kike wakisema, “Kila kitu ambacho Mungu hufanya ni kwa ajili ya matokeo mazuri; ndiyo yote wanayohitaji watu.” Nilikubali hili na kukubaliana nalo, lakini sikuwa na ufahamu wowote kupitia uzoefu wangu mwenyewe. Baadaye nilipata ufahamu kiasi kwa njia ya mazingira ambayo Mungu aliniumbia.

Nilikuwa na hamu kubwa hasa ya hadhi katika moyo wangu. Daima nilikuwa na matumaini kwamba kiongozi angenisikiliza na kwamba ndugu zangu wa kiume na wa kike wang ... Read more »

Views: 91 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 06.01.2019 | Comments (0)