2. Mimi Sistahili Kumwona Kristo

Huanbao Mji wa Dalian, Mkoa wa Liaoning

Tangu kwanza nianze kumwamini Mwenyezi Mungu, daima nimewapenda wale ndugu wa kiume na wa kike ambao wanaweza kupokea huduma ya kibinafsi ya Kristo, ambao wanaweza kusikia mahubiri Yake kwa masikio yao wenyewe. Katika moyo wangu, nimewaza jinsi ingekuwa vizuri sana kama siku moja katika siku zijazo ninaweza kusikia mahubiri ya Kristo, bila shaka kumwona Yeye kungekuwa kwa ajabu hata zaidi. Lakini hivi karibuni, kwa njia ya kusikiliza ushirika Wake, nimekuja kuhisi kwa undani moyoni mwangu kwamba mimi sifai kumwona Kristo.

Ilikuwa wakati ambapo ... Read more »

Views: 85 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 05.03.2019 | Comments (0)

1. Kila Neno la Mungu ni Maonyesho ya Tabia Yake

Hu Ke Mji wa Dezhou, Mkoa wa Shandong

Wakati wowote nilipoona maneno haya yaliyosemwa na Mungu,nilihisi kuwa na wasiwasi:“ Kila sentensi Niliyoizungumza ina tabia ya Mungu ndani yake。Mngefanya vizuri endapo mngetafakari kuhusu maneno Yangu kwa umakini,na kwa kweli mtafaidi pakubwa kutoka kwa maneno hayo “(”N ... Read more »

Views: 117 | Added by: flickrpinquorettfb | Date: 05.03.2019 | Comments (0)