Dong Jingxin ni mhubiri katika kanisa la nyumba nchini Uchina。Amemsadiki Bwana kwa miaka thelathini,na anapenda ukweli,mara kwa mara yeye husoma maneno ya Bwana na yanamsisimua。Anajitumia kwa ajili ya Bwana kwa shauku kubwa。Kwa sababu ya kazi yake ya kuhubiri,alikamatwa na polisi wa serikali ya Kikomunisti ya Kichina na akafungwa gerezani ambako alivumilia ukatili na mateso。Maneno ya Bwana ndiyo yaliyomwongoza kwa kustahamili miaka saba ya maisha ya gerezani yasiyokuwa ya kibinadamu。Baada ya k ... Read more »

Views: 123 | Added by: hatat1946 | Date: 03.24.2019 | Comments (0)