Qin Shuting Jijini Linyi, Mkoani Shandong

Kwa muda fulani, ingawa sikuwa nimeacha kula na kunywa maneno ya Mungu, sikuhisi mwanga kamwe. Nilikuwa nimeomba kwa Mungu kwa ajili ya hili lakini, baadaye, bado sikuwa nimepata nuru. Hivyo niliwaza, “Kuna wakati wa Mungu kumpa kila mwanadamu nuru, kwa hivyo hakuna maana ya kuiharakisha.” Baadaye, nilishika amri na kula na kunywa maneno ya Mungu bila wasiwasi, nikingoja kwa “subira” kutoa nuru kwa Mungu.

Mpaka siku moja, nilisoma maneno haya ya Mungu: “Ni kama tu moyo wako uko na amani mbele za Mungu ndio kutafuta kwako ukweli na mabadiliko katika tabia yako kutazaa matunda. Kwa sababu u ... Read more »

Views: 109 | Added by: hatat1946 | Date: 03.12.2019 | Comments (0)